"Nitaoa huu mwaka", Diamond Platinumz

Diamond Platinumz and Zari


Diamond Platinums had had an unstable marriage since time immemorial. This always happens with men. The Tanzanian superstar has finally set his eyes on tying the knot with the love of his life.




Magufuli hataki mchezo! Ministry of communication bans Diamond Platinumz's songs

On the International Women's Day, Chibu Dangote stated that he wants to make his mother proud by settling in marriage.

  • "Happy Women's day Mama na wanawake wote Ulimwenguni... Nashkuru sana kwa kunizaa na kunilea...Wewe ni Mboni na Nguzo ya Maisha yangu mama...Licha ya shida na Mateso uliyoyapata kwenye kunizaa na kunilea, lakini hata sasa ambapo ulitakiwa walau Upumzike nimekuwa nikikukosea kwa kukuingiza hata kwenye Matatizo Yasiyokuhusu...Wanakutukana, wanakukebehi na kukutupia kila neno lililo baya, yote kwa sababu yangu mimi, lakini sikuzote umekuwa mwenye kunisamehe, kunipenda na Kunithamini.....Nakupenda sana Mama, Na nisameh kwa yote nilokukosea... Inshaalah, Mwenyez Mungu anibariki Mwaka huu Mwanao nifanikishe Ndoa yangu na kukupa Furaha ya Milele ambayo siku zote umekuwa Ukiitaka..... @mama_dangote."



So. who is Diamond Platinumz set to marry?

Is Diamond Platinumz hitting back on Wema Sepetu?


Zari, on the other hand, had an interview and guess what? Diamond is the lucky man.
 "This year we are visiting my dad officially.Diamond is going to settle with me officially. We planned alot of times for him to see my family but now he is ready. We want to tkse a big step this year." She said.
This means that Zari and Diamond are still a thing? 

Comments